6 Nitamtuma yeye juu ya taifa lenye kuasi imani,+ nami nitampa amri juu ya watu wa ghadhabu yangu,+ ili kuchukua nyara nyingi na kuchukua uporaji mwingi na kuwafanya kuwa mahali pa kukanyaga kama udongo wa barabara.+
5 Nao watakuwa kama wanaume wenye nguvu+ wanaokanyaga matope ya barabarani katika mapigano.+ Nao watajihusisha katika mapigano, kwa maana Yehova yupo pamoja nao;+ na hao wapanda-farasi wataona aibu.+
3 “Nanyi mtawakanyagia chini waovu, kwa maana watakuwa kama mavumbi chini ya nyayo za miguu yenu siku ile nitakayochukua hatua,”+ asema Yehova wa majeshi.