Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nitamtuma yeye juu ya taifa lenye kuasi imani,+ nami nitampa amri juu ya watu wa ghadhabu yangu,+ ili kuchukua nyara nyingi na kuchukua uporaji mwingi na kuwafanya kuwa mahali pa kukanyaga kama udongo wa barabara.+

  • Zekaria 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao watakuwa kama wanaume wenye nguvu+ wanaokanyaga matope ya barabarani katika mapigano.+ Nao watajihusisha katika mapigano, kwa maana Yehova yupo pamoja nao;+ na hao wapanda-farasi wataona aibu.+

  • Malaki 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nanyi mtawakanyagia chini waovu, kwa maana watakuwa kama mavumbi chini ya nyayo za miguu yenu siku ile nitakayochukua hatua,”+ asema Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki