63 “Na itatukia kwamba kama vile Yehova alivyokuwa na furaha juu yenu ili kuwafanyia mema na kuwazidisha ninyi,+ ndivyo Yehova atakavyokuwa na furaha juu yenu ili kuwaharibu ninyi na kuwaangamiza ninyi;+ nanyi mtang’olewa kutoka katika nchi mnayoenda kuimiliki.+
23 mpaka Yehova alipoondoa Israeli kutoka mbele za macho yake,+ kama alivyokuwa amesema kupitia kwa watumishi wake wote manabii.+ Basi Israeli wakatoka katika udongo wao wenyewe, wakaenda uhamishoni katika Ashuru mpaka leo hii.+