4 Na Yehova akaendelea kumwambia: “Mwite jina lake Yezreeli,+ kwa maana bado kitambo kidogo tu nami nitatoza hesabu kwa sababu ya vitendo vya kumwaga damu vya Yezreeli juu ya nyumba ya Yehu,+ nami nitakomesha utawala wa kifalme wa nyumba ya Israeli.+