Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 73:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana, tazama! Walewale wanaokaa mbali nawe wataangamia.+

      Hakika utamnyamazisha kila mtu ambaye kwa njia isiyo ya adili anakuacha.+

  • Isaya 24:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nayo nchi imechafuliwa chini ya wakaaji wake,+ kwa maana wamezivunja sheria,+ wamelibadili sharti,+ wamevunja agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Isaya 33:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Watenda-dhambi wamekuwa na hofu katika Sayuni;+ mtetemeko umewashika waasi-imani:+ ‘Ni nani kati yetu anayeweza kukaa kwa muda na moto unaoteketeza?+ Ni nani kati yetu anayeweza kukaa kwa muda wowote pamoja na mioto inayodumu muda mrefu?’+

  • Yeremia 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nilipoona jambo hilo, kwa sababu Israeli asiye mwaminifu alikuwa amefanya uzinzi, nilimfukuza+ nami nikampa cheti chake cha talaka kamili,+ ingawa hivyo Yuda, dada yake anayetenda kwa hila, hakuogopa, bali yeye mwenyewe pia akaanza kwenda na kufanya ukahaba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki