Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:66
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 66 Nawe hakika utakuwa katika hatari kubwa zaidi ya maisha yako na kuwa katika hofu usiku na mchana, nawe hutakuwa na hakika ya uhai wako.+

  • Kumbukumbu la Torati 28:67
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 67 Wakati wa asubuhi utasema, ‘Laiti ingekuwa jioni!’ na jioni utasema, ‘Laiti ingekuwa asubuhi!’ kwa sababu ya hofu ya moyo wako, hofu ambayo utakuwa nayo na kwa sababu ya kuona kwa macho yako mambo ambayo utayaona.+

  • Zaburi 53:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Hapo wamejawa na hofu kubwa,+

      Mahali ambapo hapakuwa na kitu chenye kutia hofu;+

      Kwa maana hakika Mungu ataitawanya mifupa ya mtu yeyote anayepiga kambi dhidi yako.+

      Hakika utawafanya waone aibu, kwa maana Yehova mwenyewe amewakataa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki