15 Ndipo tetemeko+ likatokea katika kambi iliyo shambani na katikati ya watu wote wa kile kituo cha mbele; na hata lile jeshi la waporaji+ likatetemeka, na dunia ikaanza kutetemeka,+ nalo likawa ni tetemeko kutoka kwa Mungu.+
6 Na Yehova alikuwa amefanya kambi ya Wasiria isikie+ sauti ya magari ya vita, sauti ya farasi, sauti ya jeshi kubwa,+ hivi kwamba wakaambiana: “Tazama! Mfalme wa Israeli amekodi juu yetu wafalme wa Wahiti+ na wafalme wa Misri+ ili waje juu yetu!”