-
2 Wafalme 22:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 “Nendeni, muulizeni+ Yehova kwa ajili yangu na kwa ajili ya watu na kwa ajili ya Yuda wote kuhusu maneno ya kitabu hiki ambacho kimepatikana; kwa maana ghadhabu ya Yehova+ ni kubwa ambayo imewashwa juu yetu kwa sababu mababu+ zetu hawakuyasikiliza maneno ya kitabu hiki kwa kutenda kulingana na yote ambayo yameandikwa kutuhusu.”+
-
-
Ezekieli 20:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 “ ‘ “Lakini wao, nyumba ya Israeli, waliniasi nyikani.+ Hawakutembea katika sheria+ zangu, nao wakayakataa maamuzi yangu ya hukumu,+ ambayo, mtu akiendelea kuyafanya, pia ataendelea kuishi kwa hayo.+ Nazo sabato zangu walizitia unajisi sana,+ hivi kwamba nikaahidi kumwaga ghadhabu yangu juu yao nyikani, ili kuwaangamiza.+
-