Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na ikawa kwamba kwa sababu wana wa Israeli walimtendea dhambi+ Yehova, Mungu wao, aliyewapandisha kutoka katika nchi ya Misri kutoka chini ya mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ nao wakaanza kuogopa miungu mingine;+

  • 2 Wafalme 22:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Nendeni, muulizeni+ Yehova kwa ajili yangu na kwa ajili ya watu na kwa ajili ya Yuda wote kuhusu maneno ya kitabu hiki ambacho kimepatikana; kwa maana ghadhabu ya Yehova+ ni kubwa ambayo imewashwa juu yetu kwa sababu mababu+ zetu hawakuyasikiliza maneno ya kitabu hiki kwa kutenda kulingana na yote ambayo yameandikwa kutuhusu.”+

  • Ezekieli 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “ ‘ “Lakini wao, nyumba ya Israeli, waliniasi nyikani.+ Hawakutembea katika sheria+ zangu, nao wakayakataa maamuzi yangu ya hukumu,+ ambayo, mtu akiendelea kuyafanya, pia ataendelea kuishi kwa hayo.+ Nazo sabato zangu walizitia unajisi sana,+ hivi kwamba nikaahidi kumwaga ghadhabu yangu juu yao nyikani, ili kuwaangamiza.+

  • Danieli 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 tumetenda dhambi,+ tumekosa, tumetenda kwa uovu na kuasi;+ nasi tumegeuka kando kutoka katika amri zako na kutoka katika maamuzi yako ya hukumu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki