Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa maana najua vema kwamba baada ya kifo changu hakika mtatenda kwa uharibifu,+ nanyi hakika mtageuka kando kutoka katika njia ambayo nimewaamuru ninyi; na msiba+ lazima utawaangukia mwishoni mwa siku hizo, kwa sababu mtafanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova ili kumtia uchungu kwa kazi za mikono yenu.”+

  • Kumbukumbu la Torati 32:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yeshuruni+ alipoanza kunenepa, ndipo akapiga teke.+

      Umepata mafuta, umekuwa mnene, umeshiba mno.+

      Basi akamwacha Mungu, aliyemfanya,+

      Na kumdharau Mwamba+ wa wokovu wake.

  • Yoshua 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwa sababu ya kuvunja agano la Yehova Mungu wenu ambalo aliwaamuru ninyi, na kwa sababu mmeenda na kuitumikia miungu mingine na kuiinamia.+ Na hasira ya Yehova hakika itawaka juu yenu,+ nanyi hakika mtaangamia upesi kutoka katika hii nchi nzuri ambayo amewapa.”+

  • Nehemia 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Hata hivyo, wakakosa kutii,+ wakakuasi+ na kuzidi kutupa sheria yako nyuma ya migongo yao,+ wakawaua manabii wako mwenyewe,+ waliotoa ushahidi juu yao ili kuwarudisha kwako;+ nao wakaendelea kutenda matendo ya ukosefu mkubwa wa heshima.+

  • Zaburi 106:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nao wakachangamana na hayo mataifa+

      Na kuanza kujifunza matendo yao.+

  • Amosi 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 enyi mnaoigeuza haki kuwa pakanga tupu,+ ninyi ambao mmeutupa chini uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki