Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Usiviinamie wala kushawishiwa kuvitumikia,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wako ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili,+ na ambaye huleta adhabu juu ya wana kwa sababu ya kosa la akina baba, juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne, kwa wale wanaonichukia;+

  • 2 Wafalme 17:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 wakati Yehova alipofanya agano+ pamoja nao na kuwaamuru, akisema: “Msiogope miungu mingine,+ wala msiinamie wala kuitumikia wala kuitolea dhabihu.+

  • Yeremia 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hizo ni kama sanamu ya kufukuza ndege ya shamba la matango, nazo haziwezi kusema.+ Nazo hakika hubebwa, kwa maana haziwezi kupiga hatua zozote.+ Zisiwatie woga, kwa maana haziwezi kufanya jambo lolote lenye kuleta msiba, na zaidi ya hayo, haziwezi kufanya wema wowote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki