Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana hutamsujudia mungu mwingine,+ kwa sababu Yehova, ambaye jina lake ni Wivu, yeye ni Mungu mwenye wivu;+

  • Hesabu 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Finehasi+ mwana wa Eleazari mwana wa Haruni kuhani ameigeuzia mbali ghadhabu+ yangu kutoka juu ya wana wa Israeli kwa kutovumilia kwake ushindani wowote kunielekea mimi katikati yao,+ hivi kwamba sikuwaangamiza wana wa Israeli kwa kusisitiza kwangu kwamba watu wajitoe kikamili.+

  • Mathayo 4:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa, ‘Yehova Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake+ ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’ ”+

  • Luka 10:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Akajibu, akasema: “ ‘Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa nguvu zako zote na kwa akili+ yako yote,’ na, ‘jirani yako kama wewe mwenyewe.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki