19 Ndipo Yoshua akawaambia watu: “Ninyi hamwezi kumtumikia Yehova, kwa maana yeye ni Mungu mtakatifu;+ yeye ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+ Hatasamehe maasi yenu wala dhambi zenu.+
25 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Sasa nitawarudisha mateka wa Yakobo+ na kwa kweli niwe na rehema juu ya nyumba yote ya Israeli;+ nami nitajitoa kikamili kwa ajili ya jina langu takatifu.+