21 Jiangalie kwa sababu yake na kuitii sauti yake. Usijiendeshe kwa kumwasi yeye, kwa maana hatawasamehe kosa lenu;+ kwa sababu jina langu limo ndani yake.
35 “‘“Mimi Yehova nimesema hakika hilo ndilo nitakalolitendea kusanyiko hili lote lenye uovu,+ wale ambao wamekusanyika pamoja dhidi yangu: Katika nyika hii watafikia mwisho wao, na humo watakufa.+
14 Na hiyo ndiyo sababu nimeiapia nyumba ya Eli kwamba adhabu ya kosa la nyumba ya Eli haitaondolewa kwa dhabihu wala kwa toleo mpaka wakati usio na kipimo.”+
9 Yehova anajua jinsi ya kuwakomboa watu wenye ujitoaji-kimungu kutoka katika jaribu,+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu kwa ajili ya ile siku ya hukumu ili wakatiliwe mbali,+