Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “‘“Mimi Yehova nimesema hakika hilo ndilo nitakalolitendea kusanyiko hili lote lenye uovu,+ wale ambao wamekusanyika pamoja dhidi yangu: Katika nyika hii watafikia mwisho wao, na humo watakufa.+

  • Yoshua 24:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ndipo Yoshua akawaambia watu: “Ninyi hamwezi kumtumikia Yehova, kwa maana yeye ni Mungu mtakatifu;+ yeye ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+ Hatasamehe maasi yenu wala dhambi zenu.+

  • Waebrania 12:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Angalieni kwamba msimkatae yeye anayesema.+ Kwa maana ikiwa hawakuponyoka, wale waliomkataa yeye aliyekuwa akitoa onyo la kimungu duniani,+ sisi hatutaponyoka hata kidogo tukigeukia mbali kutoka kwake yeye anayesema kutoka mbinguni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki