Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Usiviinamie wala kufanywa uvitumikie,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wako ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili,+ ninayeleta adhabu kwa ajili ya kosa la akina baba juu ya wana na juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne, kwa wale wanaonichukia;+

  • 1 Samweli 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hapana,+ wanangu, kwa sababu habari ninazosikia si nzuri, ambazo watu wa Yehova wanaeneza.+

  • 1 Samweli 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nalo sanduku la Mungu likatekwa,+ na wale wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakafa.+

  • 1 Samweli 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Abiathari akamjulisha Daudi: “Sauli amewaua makuhani wa Yehova.”

  • 1 Wafalme 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Basi Sulemani akamfukuza Abiathari asiwe kuhani wa Yehova, ili kutimiza neno la Yehova alilokuwa amesema juu ya nyumba ya Eli+ katika Shilo.+

  • Waebrania 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana tukizoea kutenda dhambi kimakusudi+ baada ya kupokea ujuzi sahihi juu ya kweli,+ hakuna tena dhabihu yoyote iliyobaki kwa ajili ya dhambi,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki