Kutoka 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Usiinamie miungu yao wala kuchochewa kuitumikia, wala usifanyize chochote kilicho kama kazi zao,+ bali lazima utawaangusha nawe lazima uzivunje nguzo zao takatifu.+ Danieli 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini kama sivyo, ujue hivi, Ee mfalme, kwamba sisi hatuitumikii miungu yako, na sanamu ambayo umeisimamisha hatutaiabudu.”+ 1 Wakorintho 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni+ ibada ya sanamu.+
24 Usiinamie miungu yao wala kuchochewa kuitumikia, wala usifanyize chochote kilicho kama kazi zao,+ bali lazima utawaangusha nawe lazima uzivunje nguzo zao takatifu.+
18 Lakini kama sivyo, ujue hivi, Ee mfalme, kwamba sisi hatuitumikii miungu yako, na sanamu ambayo umeisimamisha hatutaiabudu.”+