Kutoka 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana hutamsujudia mungu mwingine,+ kwa sababu Yehova, ambaye jina lake ni Wivu, yeye ni Mungu mwenye wivu;+ Ezekieli 36:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nami nitalihurumia jina langu takatifu, ambalo nyumba ya Israeli imelitia unajisi katikati ya mataifa ambamo wameingia.”+
14 Kwa maana hutamsujudia mungu mwingine,+ kwa sababu Yehova, ambaye jina lake ni Wivu, yeye ni Mungu mwenye wivu;+
21 Nami nitalihurumia jina langu takatifu, ambalo nyumba ya Israeli imelitia unajisi katikati ya mataifa ambamo wameingia.”+