Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Usilitumie jina la Yehova Mungu wako kwa njia isiyofaa,+ kwa maana Yehova hatamwacha bila kuadhibiwa yule anayelitumia jina lake kwa njia isiyofaa.+

  • Zaburi 74:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ukumbuke hili: Adui ameshutumu, Ee Yehova,+

      Na kikundi cha watu wasio na akili kimelidharau jina lako.+

  • Isaya 48:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nitaizuia hasira yangu kwa ajili ya jina langu,+ na kwa ajili ya sifa yangu nitajizuia kukuelekea ili usikatiliwe mbali.+

  • Isaya 52:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Na sasa, nina faida gani hapa?” asema Yehova. “Kwa maana watu wangu walichukuliwa bure.+ Wale waliokuwa wakiwatawala waliendelea kupiga mayowe,”+ asema Yehova, “na sikuzote, mchana kutwa, jina langu lilikuwa likivunjiwa heshima.+

  • Ezekieli 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nami nikachukua hatua kwa ajili ya jina langu mwenyewe ili lisitiwe unajisi mbele ya macho ya mataifa ambayo walikuwa katikati yao,+ kwa sababu nilikuwa nimejijulisha kwao mbele ya macho yao kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki