Mambo ya Walawi 19:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na msiape uwongo kwa jina langu,+ ili msilitie unajisi jina la Mungu wenu. Mimi ni Yehova. Methali 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+ Ezekieli 36:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nami nitalihurumia jina langu takatifu, ambalo nyumba ya Israeli imelitia unajisi katikati ya mataifa ambamo wameingia.”+
9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+
21 Nami nitalihurumia jina langu takatifu, ambalo nyumba ya Israeli imelitia unajisi katikati ya mataifa ambamo wameingia.”+