Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 74:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kushutumu mpaka wakati gani?+

      Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+

  • Isaya 37:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Isaya akawaambia: “Mwambieni bwana wenu, ‘Yehova amesema hivi:+ “Usiogope+ kwa sababu ya maneno uliyosikia ambayo watumishi+ wa mfalme wa Ashuru wamesema vibaya kunihusu.

  • Waroma 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana “jina la Mungu linafanyiwa makufuru katikati ya mataifa kwa sababu yenu”;+ kama ilivyoandikwa.

  • Yakobo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wao hulikufuru+ lile jina zuri ambalo kwa hilo mliitwa,+ sivyo?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki