Zaburi 74:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kushutumu mpaka wakati gani?+Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+ Isaya 37:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Isaya akawaambia: “Mwambieni bwana wenu, ‘Yehova amesema hivi:+ “Usiogope+ kwa sababu ya maneno uliyosikia ambayo watumishi+ wa mfalme wa Ashuru wamesema vibaya kunihusu. Waroma 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “jina la Mungu linafanyiwa makufuru katikati ya mataifa kwa sababu yenu”;+ kama ilivyoandikwa. Yakobo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wao hulikufuru+ lile jina zuri ambalo kwa hilo mliitwa,+ sivyo?
10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kushutumu mpaka wakati gani?+Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+
6 Ndipo Isaya akawaambia: “Mwambieni bwana wenu, ‘Yehova amesema hivi:+ “Usiogope+ kwa sababu ya maneno uliyosikia ambayo watumishi+ wa mfalme wa Ashuru wamesema vibaya kunihusu.
24 Kwa maana “jina la Mungu linafanyiwa makufuru katikati ya mataifa kwa sababu yenu”;+ kama ilivyoandikwa.