Isaya 52:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Na sasa, nina faida gani hapa?” asema Yehova. “Kwa maana watu wangu walichukuliwa bure.+ Wale waliokuwa wakiwatawala waliendelea kupiga mayowe,”+ asema Yehova, “na sikuzote, mchana kutwa, jina langu lilikuwa likivunjiwa heshima.+ Luka 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kila mtu anayesema neno baya juu ya Mwana wa binadamu, atasamehewa; lakini yule anayekufuru roho takatifu hatasamehewa.+
5 “Na sasa, nina faida gani hapa?” asema Yehova. “Kwa maana watu wangu walichukuliwa bure.+ Wale waliokuwa wakiwatawala waliendelea kupiga mayowe,”+ asema Yehova, “na sikuzote, mchana kutwa, jina langu lilikuwa likivunjiwa heshima.+
10 Na kila mtu anayesema neno baya juu ya Mwana wa binadamu, atasamehewa; lakini yule anayekufuru roho takatifu hatasamehewa.+