Zaburi 106:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na ikahesabiwa kwake kuwa ni uadilifuKwa kizazi baada ya kizazi mpaka wakati usio na kipimo.+ 2 Wakorintho 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana nina wivu juu yenu kwa wivu wa kimungu,+ kwa maana mimi binafsi niliwachumbia+ ninyi mume+ mmoja ili niwatoe mkiwa bikira safi kiadili+ kwa Kristo.+
2 Kwa maana nina wivu juu yenu kwa wivu wa kimungu,+ kwa maana mimi binafsi niliwachumbia+ ninyi mume+ mmoja ili niwatoe mkiwa bikira safi kiadili+ kwa Kristo.+