Waefeso 5:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 ili kujipa mwenyewe kutaniko likiwa na fahari,+ likiwa bila doa au kunyanzi au lolote la mambo hayo, bali ili liwe takatifu na bila dosari.+ Wakolosai 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yeye ndiye tunayemtangaza,+ tukimwonya kila mtu na kumfundisha kila mtu katika hekima yote,+ ili tumtoe kila mtu akiwa kamili+ katika muungano na Kristo.
27 ili kujipa mwenyewe kutaniko likiwa na fahari,+ likiwa bila doa au kunyanzi au lolote la mambo hayo, bali ili liwe takatifu na bila dosari.+
28 Yeye ndiye tunayemtangaza,+ tukimwonya kila mtu na kumfundisha kila mtu katika hekima yote,+ ili tumtoe kila mtu akiwa kamili+ katika muungano na Kristo.