Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Usiviinamie wala kushawishiwa kuvitumikia,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wako ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili,+ na ambaye huleta adhabu juu ya wana kwa sababu ya kosa la akina baba, juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne, kwa wale wanaonichukia;+

  • Kutoka 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Usiinamie miungu yao wala kuchochewa kuitumikia, wala usifanyize chochote kilicho kama kazi zao,+ bali lazima utawaangusha nawe lazima uzivunje nguzo zao takatifu.+

  • Kutoka 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana hutamsujudia mungu mwingine,+ kwa sababu Yehova, ambaye jina lake ni Wivu, yeye ni Mungu mwenye wivu;+

  • Kumbukumbu la Torati 4:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Ikiwa utakuwa baba ya wana na wajukuu nanyi mmekaa muda mrefu katika nchi na kutenda kwa uharibifu+ na kufanya sanamu ya kuchongwa,+ umbo la kitu chochote, na kufanya uovu machoni pa Yehova Mungu+ wako na kumtia uchungu,

  • Kumbukumbu la Torati 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Usiviinamie wala kufanywa uvitumikie,+ kwa sababu mimi Yehova Mungu wako ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili,+ ninayeleta adhabu kwa ajili ya kosa la akina baba juu ya wana na juu ya kizazi cha tatu na juu ya kizazi cha nne, kwa wale wanaonichukia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki