Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 18:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kisha wana wa Dani wakajisimamishia ile sanamu ya kuchongwa;+ naye Yonathani+ mwana wa Gershomu,+ mwana wa Musa, yeye na wanawe wakawa makuhani kwa kabila la Wadani mpaka siku ile nchi ilipopelekwa uhamishoni.+

  • 2 Wafalme 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nao wakaendelea kuacha amri+ zote za Yehova, Mungu wao, wakajitengenezea sanamu za kuyeyushwa,+ ndama wawili,+ na kutengeneza mti mtakatifu,+ nao wakaanza kuliinamia jeshi lote la mbinguni+ na kutumikia Baali;+

  • 2 Wafalme 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na zaidi, akaweka sanamu ya kuchongwa+ ya mti mtakatifu aliyokuwa ametengeneza katika nyumba+ ambayo Yehova alikuwa amemwambia Daudi na Sulemani mwana wake hivi: “Katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambalo nimelichagua kutoka katika makabila yote ya Israeli, nitaliweka jina langu mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Isaya 42:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu;+ nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe,+ wala sitazipa+ sanamu za kuchongwa sifa yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki