1 Samweli 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nalo sanduku la Mungu likatekwa,+ na wale wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakafa.+ 1 Samweli 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi akasema: “Utukufu umeondoka katika Israeli kwenda uhamishoni,+ kwa sababu sanduku la Mungu wa kweli limetekwa.”+ Zaburi 78:61 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 Naye akatia nguvu zake utekwani+Na uzuri wake mkononi mwa mpinzani.+
22 Basi akasema: “Utukufu umeondoka katika Israeli kwenda uhamishoni,+ kwa sababu sanduku la Mungu wa kweli limetekwa.”+