11 Na Sulemani akamtoa binti ya Farao+ katika Jiji la Daudi,+ akampeleka katika nyumba aliyokuwa amemjengea,+ kwa maana alisema: “Ingawa yeye ni mke wangu, asikae katika nyumba ya Daudi mfalme wa Israeli, kwa maana mahali ambapo sanduku la Yehova limeletwa ni patakatifu.”+
12 “‘Hata hivyo, nendeni, sasa, mahali pangu palipokuwa katika Shilo,+ ambapo nilifanya jina langu likae hapo pale mwanzoni,+ na kuona nilivyopafanya kwa sababu ya ubaya wa watu wangu Israeli.+