Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nalo sanduku la Mungu likatekwa,+ na wale wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakafa.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Sulemani akamtoa binti ya Farao+ katika Jiji la Daudi,+ akampeleka katika nyumba aliyokuwa amemjengea,+ kwa maana alisema: “Ingawa yeye ni mke wangu, asikae katika nyumba ya Daudi mfalme wa Israeli, kwa maana mahali ambapo sanduku la Yehova limeletwa ni patakatifu.”+

  • Yeremia 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Hata hivyo, nendeni, sasa, mahali pangu palipokuwa katika Shilo,+ ambapo nilifanya jina langu likae hapo pale mwanzoni,+ na kuona nilivyopafanya kwa sababu ya ubaya wa watu wangu Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki