9 Kwa nini umetoa unabii katika jina la Yehova, ukisema, ‘Nyumba hii itakuwa kama ile iliyo katika Shilo,+ nalo jiji hili litafanywa ukiwa hivi kwamba halitakuwa na mkaaji’?” Na watu wote wakaendelea kujikutanisha kumzunguka Yeremia ndani ya nyumba ya Yehova.