Zaburi 78:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Naye mwishowe akaiacha maskani ya Shilo,+Lile hema ambalo alikaa ndani yake katikati ya watu wa udongo.+ Yeremia 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “‘Hata hivyo, nendeni, sasa, mahali pangu palipokuwa katika Shilo,+ ambapo nilifanya jina langu likae hapo pale mwanzoni,+ na kuona nilivyopafanya kwa sababu ya ubaya wa watu wangu Israeli.+
60 Naye mwishowe akaiacha maskani ya Shilo,+Lile hema ambalo alikaa ndani yake katikati ya watu wa udongo.+
12 “‘Hata hivyo, nendeni, sasa, mahali pangu palipokuwa katika Shilo,+ ambapo nilifanya jina langu likae hapo pale mwanzoni,+ na kuona nilivyopafanya kwa sababu ya ubaya wa watu wangu Israeli.+