Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndipo kusanyiko lote la wana wa Israeli likakutanika Shilo,+ nao wakaweka huko lile hema la mkutano,+ kwa maana sasa nchi ilikuwa imetiishwa mbele yao.+

  • Waamuzi 18:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nao wakaendelea kujisimamishia ile sanamu ya kuchongwa ya Mika, ambayo alikuwa ameitengeneza, siku zote ambazo ile nyumba+ ya Mungu wa kweli iliendelea kuwa katika Shilo.+

  • 1 Samweli 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na mtu huyo akawa akipanda kutoka jiji lake mwaka baada ya mwaka ili kusujudu+ na kutoa dhabihu kwa Yehova wa majeshi huko Shilo.+ Na hapo ndipo wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi,+ walikuwa makuhani kwa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki