Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ikiwa Yehova amependezwa nasi,+ basi kwa hakika atatuingiza katika nchi hii na kutupa sisi, nchi inayotiririka maziwa na asali.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Na Yehova Mungu wako atayasukumia mbali mataifa haya toka mbele yako kidogo kidogo.+ Hutaruhusiwa kuwamaliza kabisa upesi, wanyama wa mwituni wasije wakaongezeka dhidi yako.

  • Kumbukumbu la Torati 33:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Una furaha, Ee Israeli!+

      Ni nani aliye kama wewe,+

      Kikundi cha watu kinachofurahia wokovu wa Yehova,+

      Aliye ngao ya msaada wako,+

      Na Yule aliye upanga wako wa adhama?+

      Kwa hiyo adui zako watatetemeka mbele yako,+

      Na wewe—utapakanyaga mahali pao pa juu.”+

  • Yoshua 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hii ndiyo nchi ambayo bado imebaki:+ maeneo yote ya Wafilisti+ na Wageshuri+ wote

  • Matendo 7:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Na mababu zetu waliolirithi waliliingiza pamoja na Yoshua+ ndani ya nchi iliyomilikiwa na mataifa,+ ambayo Mungu aliyafukuza kutoka mbele ya mababu zetu.+ Lilibaki humo mpaka siku za Daudi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki