3 Na mtu huyo akawa akipanda kutoka jiji lake mwaka baada ya mwaka ili kusujudu+ na kutoa dhabihu kwa Yehova wa majeshi huko Shilo.+ Na hapo ndipo wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi,+ walikuwa makuhani kwa Yehova.+
3 Watu walipokuja kambini, wanaume wazee wa Israeli wakaanza kusema: “Kwa nini Yehova alitushinda leo mbele ya Wafilisti?+ Na tujichukulie kutoka Shilo sanduku la agano la Yehova,+ ili lije katikati yetu na kutuokoa kutoka mkononi mwa adui zetu.”
12 “‘Hata hivyo, nendeni, sasa, mahali pangu palipokuwa katika Shilo,+ ambapo nilifanya jina langu likae hapo pale mwanzoni,+ na kuona nilivyopafanya kwa sababu ya ubaya wa watu wangu Israeli.+