22 Na Eli alikuwa amezeeka sana, naye alikuwa ameyasikia+ yote ambayo wanawe walizidi kuwatendea+ Israeli wote na jinsi walivyokuwa wakilala na wanawake+ waliokuwa wakitumikia katika mwingilio wa hema la mkutano.+
17 Basi yule mleta-habari akajibu na kusema: “Israeli wamekimbia mbele ya Wafilisti, na pia watu wameshindwa vibaya sana;+ hata wana wako wawili wamekufa pia—Hofni na Finehasi+—nalo sanduku la Mungu wa kweli limetekwa.”+