-
Ezekieli 22:26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
26 Makuhani wake wenyewe wameitendea jeuri sheria yangu,+ nao wanaendelea kutia unajisi mahali pangu patakatifu.+ Hawatofautishi kati ya kitu kitakatifu na cha kawaida,+ nao hawajafanya chochote kijulikane kati ya kitu kisicho safi na kilicho safi,+ nao wameyaficha macho+ yao yasione sabato zangu, nami ninatiwa unajisi katikati yao.+
-