Ezekieli 36:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo wakaingia kwa mataifa ambamo waliingia, na watu wakatia unajisi jina langu takatifu+ kwa kusema hivi juu yao, ‘Hawa ndio watu wa Yehova, nao wametoka katika nchi yake.’+ Waroma 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana “jina la Mungu linafanyiwa makufuru katikati ya mataifa kwa sababu yenu”;+ kama ilivyoandikwa.
20 Kwa hiyo wakaingia kwa mataifa ambamo waliingia, na watu wakatia unajisi jina langu takatifu+ kwa kusema hivi juu yao, ‘Hawa ndio watu wa Yehova, nao wametoka katika nchi yake.’+
24 Kwa maana “jina la Mungu linafanyiwa makufuru katikati ya mataifa kwa sababu yenu”;+ kama ilivyoandikwa.