Hesabu 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ‘Kwa sababu Yehova hakuweza kuwaleta watu hawa katika nchi ambayo aliwaapia, aliwaua nyikani.’+ Yoshua 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watasikia habari hizi, nao hakika watatuzunguka na kulikatilia mbali jina letu kutoka duniani;+ nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+
9 Nao Wakanaani na wakaaji wote wa nchi hii watasikia habari hizi, nao hakika watatuzunguka na kulikatilia mbali jina letu kutoka duniani;+ nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?”+