26 Makuhani wake wamevunja sheria yangu,+ nao wanaendelea kupatia unajisi mahali pangu patakatifu.+ Hawatofautishi kati ya kitu kitakatifu na cha kawaida,+ hawawajulishi watu kisicho safi na kilicho safi,+ na wanakataa kushika sabato zangu, nami nimechafuliwa kati yao.