Mambo ya Walawi 11:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 ili kufanya tofauti+ kati ya kisicho safi na kilicho safi na kati ya kiumbe hai kinachoweza kuliwa na kiumbe hai kisichopasa kuliwa.’” Matendo 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Petro akasema: “Sivyo hata kidogo, Bwana, kwa sababu sijakula kamwe kitu chochote kilichotiwa unajisi na kisicho safi.”+
47 ili kufanya tofauti+ kati ya kisicho safi na kilicho safi na kati ya kiumbe hai kinachoweza kuliwa na kiumbe hai kisichopasa kuliwa.’”
14 Lakini Petro akasema: “Sivyo hata kidogo, Bwana, kwa sababu sijakula kamwe kitu chochote kilichotiwa unajisi na kisicho safi.”+