-
Yeremia 7:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 kisha mje na kusimama mbele zangu katika nyumba hii inayoitwa kwa jina langu na kusema, ‘Tutaokolewa,’ ilhali mnafanya mambo hayo yote yanayochukiza?
-