Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye akajenga madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu katika Yerusalemu.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Zaidi ya hayo, akaweka sanamu ya kuchongwa+ aliyokuwa ametengeneza katika nyumba ya Mungu wa kweli,+ ambayo Mungu alikuwa amemwambia Daudi na Sulemani mwana wake hivi kuihusu: “Katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambalo nimelichagua+ kutoka katika makabila yote ya Israeli, nitaliweka jina langu+ mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Yeremia 34:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nanyi leo mnageuka na kufanya yaliyo sawa machoni pangu kwa kumtangazia uhuru kila mtu mwenzake, nanyi mnafanya agano mbele zangu+ ndani ya nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake.+

  • Ezekieli 20:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “Nanyi, Ee nyumba ya Israeli, hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Nendeni kila mmoja wenu akazitumikie sanamu zake mwenyewe za mavi.+ Na baadaye ikiwa hamnisikilizi, basi hamtaendelea kulitia unajisi jina langu takatifu kwa zawadi zenu na kwa sanamu zenu za mavi.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki