7 Sanamu aliyokuwa amechonga aliiweka katika nyumba ya Mungu wa kweli+ ambayo Mungu alikuwa amemwambia hivi Daudi na Sulemani mwanawe kuihusu: “Nitaweka jina langu milele katika nyumba hii na katika jiji la Yerusalemu, ambalo nimelichagua kati ya makabila yote ya Israeli.+