Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:7-9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Akachukua sanamu ya kuchongwa ya mti mtakatifu*+ aliyokuwa ametengeneza na kuiweka ndani ya nyumba ambayo Yehova alikuwa amemwambia hivi Daudi na Sulemani mwanawe kuihusu: “Nitaweka jina langu milele katika nyumba hii na katika jiji la Yerusalemu, ambalo nimelichagua kati ya makabila yote ya Israeli.+ 8 Nami sitaifanya tena miguu ya Waisraeli itangetange kutoka katika nchi niliyowapa mababu zao+ ikiwa watashika kwa uangalifu mambo yote niliyowaamuru,+ Sheria yote ambayo Musa mtumishi wangu aliwaagiza wafuate.” 9 Lakini hawakutii, na Manase aliendelea kuwapotosha, akasababisha watende uovu mkubwa zaidi kuliko uliofanywa na mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele ya Waisraeli.+

  • 2 Wafalme 23:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova akasema: “Nitaliondoa Yuda pia mbele za macho yangu,+ kama nilivyoliondoa Israeli;+ nami nitalikataa jiji hili nililochagua, Yerusalemu, na nyumba ambayo nilisema hivi kuihusu: ‘Jina langu litaendelea kukaa humo.’”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na sasa nimeichagua nyumba hii na kuitakasa ili jina langu likae humu milele,+ na macho yangu na moyo wangu utakuwa humu sikuzote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki