13 Acheni kuleta ndani matoleo zaidi ya nafaka yasiyo na thamani.+ Uvumba—ni chukizo kwangu.+ Mwezi mpya+ na sabato,+ kuita mkusanyiko+—siwezi kuvumilia matumizi ya nguvu za uchawi+ pamoja na kusanyiko kuu.
10 nanyi mje na kusimama mbele zangu katika nyumba hii ambayo jina langu limeitwa juu yake,+ na kusema, ‘Hakika tutakombolewa,’ huku mkiyafanya machukizo haya yote?
39 Nao walipokuwa wamewachinja wana wao kwa ajili ya sanamu zao za mavi+ waliingia ndani ya patakatifu pangu katika siku hiyo ili kupatia unajisi,+ na, tazama! hivyo ndivyo wamefanya katikati ya nyumba yangu.+