Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Dhabihu ya waovu ni chukizo.+ Na mtu anapoileta akiwa na mwenendo mpotovu+ ni zaidi.

  • Isaya 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Acheni kuleta ndani matoleo zaidi ya nafaka yasiyo na thamani.+ Uvumba—ni chukizo kwangu.+ Mwezi mpya+ na sabato,+ kuita mkusanyiko+—siwezi kuvumilia matumizi ya nguvu za uchawi+ pamoja na kusanyiko kuu.

  • Yeremia 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 nanyi mje na kusimama mbele zangu katika nyumba hii ambayo jina langu limeitwa juu yake,+ na kusema, ‘Hakika tutakombolewa,’ huku mkiyafanya machukizo haya yote?

  • Ezekieli 23:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nao walipokuwa wamewachinja wana wao kwa ajili ya sanamu zao za mavi+ waliingia ndani ya patakatifu pangu katika siku hiyo ili kupatia unajisi,+ na, tazama! hivyo ndivyo wamefanya katikati ya nyumba yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki