Mambo ya Walawi 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘Msile kitu chochote pamoja na damu.+ “‘Msitafute ishara za bahati,+ wala msifanye uchawi.+ 1 Samweli 15:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+
23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+