Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ila tu msimwasi Yehova;+ nanyi msiwaogope watu wa nchi hiyo,+ kwa maana wao ni mkate kwetu. Ulinzi wao umegeuka kutoka juu yao,+ na Yehova yuko pamoja nasi.+ Msiwaogope.”+

  • Kumbukumbu la Torati 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Kumbuka: Usisahau jinsi ambavyo umemchokoza Yehova Mungu wako nyikani.+ Tangu siku uliyotoka katika nchi ya Misri mpaka mlipofika mahali hapa ninyi mmekuwa wenye tabia ya kumwasi Yehova.+

  • 1 Samweli 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova,+ na ikiwa kwelikweli mtaliasi agizo la Yehova,+ hakika mkono wa Yehova utakuwa kinyume chenu na baba zenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki