Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu, katika makao yenu yote: msile mafuta yoyote wala damu+ yoyote.’”

  • Mambo ya Walawi 17:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “‘Na mtu yeyote kati ya wana wa Israeli au mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katikati yenu ambaye katika kuwinda anamkamata mnyama-mwitu au ndege anayeweza kuliwa, basi ataimwaga damu+ yake na kuifunika kwa mavumbi.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ila tu uazimie kwa uthabiti usile damu,+ kwa sababu damu ndiyo nafsi+ nawe usile nafsi pamoja na nyama.

  • Matendo 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 bali kuwaandikia wajiepushe na vitu vilivyochafuliwa na sanamu,+ na uasherati,+ na kile kilichonyongwa,+ na damu.+

  • Matendo 21:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa habari ya wale waamini kutoka kati ya mataifa, tumetuma watu, tukitoa uamuzi wetu kwamba wanapaswa kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu+ na pia damu+ na vitu vilivyonyongwa,+ na uasherati.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki