13 “‘Na mtu yeyote kati ya wana wa Israeli au mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katikati yenu ambaye katika kuwinda anamkamata mnyama-mwitu au ndege anayeweza kuliwa, basi ataimwaga damu+ yake na kuifunika kwa mavumbi.+
25 Kwa habari ya wale waamini kutoka kati ya mataifa, tumetuma watu, tukitoa uamuzi wetu kwamba wanapaswa kujiepusha na vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu+ na pia damu+ na vitu vilivyonyongwa,+ na uasherati.”+