Ezekieli 23:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Baada ya kuwachinja wana wao kama dhabihu kwa sanamu zao zinazochukiza,+ walikuja mahali pangu patakatifu ili kupatia unajisi+ siku hiyohiyo. Hivyo ndivyo walivyofanya ndani ya nyumba yangu mwenyewe.
39 Baada ya kuwachinja wana wao kama dhabihu kwa sanamu zao zinazochukiza,+ walikuja mahali pangu patakatifu ili kupatia unajisi+ siku hiyohiyo. Hivyo ndivyo walivyofanya ndani ya nyumba yangu mwenyewe.