Methali 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Njia ya mwovu ni chukizo kwa Yehova,+ lakini humpenda mtu anayefuatilia uadilifu.+ Methali 21:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Dhabihu ya waovu ni chukizo.+ Na mtu anapoileta akiwa na mwenendo mpotovu+ ni zaidi. Ezekieli 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na wanaume 70+ wazee wa nyumba ya Israeli, pamoja na Yaazania mwana wa Shafani+ akiwa amesimama kati yao, walikuwa wamesimama mbele ya hiyo, kila mmoja akiwa na chetezo chake mkononi mwake, na manukato ya wingu la uvumba yalikuwa yakipaa.+
11 Na wanaume 70+ wazee wa nyumba ya Israeli, pamoja na Yaazania mwana wa Shafani+ akiwa amesimama kati yao, walikuwa wamesimama mbele ya hiyo, kila mmoja akiwa na chetezo chake mkononi mwake, na manukato ya wingu la uvumba yalikuwa yakipaa.+