3 Na ikawa katika mwaka wa kumi na nane wa Mfalme Yosia kwamba mfalme akamtuma Shafani+ mwana wa Azalia mwana wa Meshulamu mwandishi kwenye nyumba ya Yehova, akisema:
22 Kwa habari ya wale watu+ walioachwa nyuma katika nchi ya Yuda, ambao Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuwa ameacha, akaweka juu yao Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani.+
8 Na katika mwaka wa kumi na nane+ wa kutawala kwake, alipokuwa ameitakasa nchi na nyumba, akawatuma Shafani+ mwana wa Azalia na Maaseya mkuu wa jiji na Yoa mwana wa Yoahazi karani wakarekebisha+ nyumba ya Yehova Mungu wake.