Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na ikawa katika mwaka wa kumi na nane wa Mfalme Yosia kwamba mfalme akamtuma Shafani+ mwana wa Azalia mwana wa Meshulamu mwandishi kwenye nyumba ya Yehova, akisema:

  • 2 Wafalme 25:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa habari ya wale watu+ walioachwa nyuma katika nchi ya Yuda, ambao Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuwa ameacha, akaweka juu yao Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 34:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na katika mwaka wa kumi na nane+ wa kutawala kwake, alipokuwa ameitakasa nchi na nyumba, akawatuma Shafani+ mwana wa Azalia na Maaseya mkuu wa jiji na Yoa mwana wa Yoahazi karani wakarekebisha+ nyumba ya Yehova Mungu wake.

  • Yeremia 26:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Zaidi ya hayo, mkono wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ ndio uliokuwa pamoja na Yeremia, asitiwe mkononi mwa watu ili auawe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki