25 Na ikawa kwamba katika mwezi wa saba,+ Ishmaeli+ mwana wa Nethania mwana wa Elishama wa uzao wa kifalme akaja, na pia watu kumi pamoja naye, nao wakampiga Gedalia,+ akafa, na pia wale Wayahudi na Wakaldayo waliokuwa pamoja naye katika Mispa.+
14 naam, waliwatuma watu na kumchukua Yeremia kutoka katika Ua wa Walinzi+ na kumtia mkononi mwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani,+ ili amlete katika nyumba yake, ili akae katikati ya watu.
2 Ndipo Ishmaeli mwana wa Nethania na wale watu kumi waliokuwa pamoja naye wakasimama, wakampiga kwa upanga Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani.+ Kwa hiyo akamuua mtu ambaye mfalme wa Babiloni alikuwa amemweka juu ya nchi.+