2 Wafalme 25:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na ikawa kwamba katika mwezi wa saba,+ Ishmaeli+ mwana wa Nethania mwana wa Elishama wa uzao wa kifalme akaja, na pia watu kumi pamoja naye, nao wakampiga Gedalia,+ akafa, na pia wale Wayahudi na Wakaldayo waliokuwa pamoja naye katika Mispa.+
25 Na ikawa kwamba katika mwezi wa saba,+ Ishmaeli+ mwana wa Nethania mwana wa Elishama wa uzao wa kifalme akaja, na pia watu kumi pamoja naye, nao wakampiga Gedalia,+ akafa, na pia wale Wayahudi na Wakaldayo waliokuwa pamoja naye katika Mispa.+